PlaneteAfrique
Déconnexion


Mbarali yaongoza kupata hati chafu ya matumizi nchini



Wilaya ya Mbarali imekuwa wilaya pekee nchini kupata hati chafu ya matumizi ya fedha kwa mwaka 2011/2012 kutokana na kukosekana kwa udhibiti wa ndani wa fedha zinazoletwa na serikali.



Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro na kuwa hali hiyo inatokana na watendaji wa halamshauri hiyo pamoja na madiwani kushindwa kusimamia matumizi ya fedha katika miradi ya maendeleo ya wananchi.



KANDORO ametoa kauli hiyo wilayani Mbarali wakati wa kujibu hoja zilizowasilishwa na mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali-CAG, ambapo pamoja na mambo mengine halmashauri hiyo imeshindwa kufuata kanuni, taratibu na sheria za matumizi ya fedha za umma zinazoelekezwa na serikali kwa wananchi.



Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro ameendelea na ziara yake ya kushuhudia majibu ya hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa halmashauri sita kati ya kumi zilizopo mkoani humo na katika halamshauri ya wilaya ya Mbarali amekutana na hati chafu katika matumizi ya fedha za serikali na kutaja sababu zilizosababisha upatikanaji wa hati hiyo Chafu.



Pamoja na Wizara ya Utumishi kufanya uhakiki wa watumishi wote wa serikali mwaka 2011/2012, wilaya ya Mbarali inadaiwa kuendelea kulipa mishahara hewa kwa watumishi ambao wameshafariki dunia.



Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mbarali Kenneth Ndingo amesema kupata hati chafu kwa halmashauri yake sio fedheha tu kwa wananchi wa mbarali badala yake ni aibu kwa mkoa mzima wa Mbeya.



Hosea Cheyo, TBC Mbeya.




Last Updated ( Wednesday, 11 September 2013 12:48 )


 


Rédaction
Vos articles, vos idées Rejoignez nos rédacteurs Écrivez pour 54 pays

Une audience dans 0 pays d'Afrique

Devenir publicateur →
Partager Partager

À lire aussi

TANZANIE
Getty Images On Friday, Walmart announced it will close 269 stores globally as it struggl...
1/26/2016 -  8052
TANZANIE
A major search is under way in the south of Iraq’s capital, Baghdad, after the kid...
1/26/2016 -  5714
TANZANIE
China’s Dalian Wanda Group will buy a controlling stake in Hollywood film studio Legendary Ent...
1/14/2016 -  5573
TANZANIE
There has been an explosion in a district of Istanbul popular with tourists, reports say, with sever...
1/14/2016 -  5441
TANZANIE
US President Barack Obama is to widen background checks on buyers of firearms, in a series of measur...
1/5/2016 -  5761
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3843
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3727
TANZANIE
Vice-President Mohamed Gharib Bilal has directed the Ministry of Tourism and Natural Resources to do...
6/25/2014 -  3925
TANZANIE
French club Valenciennes FC is interested in signing Rwanda international defender Salomon Nirisarik...
6/4/2014 -  3917
TANZANIE
UK yacht design studio Claydon Reeves has created a vessel billed as one of the fastest and most ele...
5/28/2014 -  4225
TANZANIE
Tanzania Women’s Bank Limited (TWB) has forged business links with Tanzanians in the Diaspora who wa...
5/21/2014 -  3455

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
Nouveau

WS-Webzine

Publiez vos actualités et articles en ligne facilement.

  • Éditeur intuitif
  • Référencement optimisé
Découvrir →