PlaneteAfrique
Déconnexion


Mwakyembe aagiza matrekta bandarini kutumika kwa kilimo

Mwakyembe aagiza matrekta bandarini kutumika kwa kilimo


Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa miezi mitatu kwa watu wote walioingiza matrekta nchini ya kifungu cha msamaha wa kodi ili kuboresha kilimo nchini, wahakikishe zana hizo zinatumika kwa kazi hiyo na siyo vinginevyo.



Dkt. Mwakyembe ametoa agizo hilo wakati wa uzinduzi wa Maonesho ya wakulima kwa nyanda za juu kusini yanayoendelea katika Viwanja vya John Mwakangale, huku akiagiza tabia ya kutumia matrekta kubeba na kukokota mizigo bandarini ikomeshwe mara moja na matrekta hayo yapelekwe mashambani kwa ajili ya kilimo.



Msimu wa maonesho ya wakulima na wafugaji umeanza, maonesho ya Nane nane kwa mikoa ya Kanda za Nyanda za Juu kusini yameshirikisha mikoa ya Njombe, Ruvuma, Katavi, Rukwa Iringa na Mbeya, mwaka huu maonesho haya yamezinduliwa na Waziri wa Uchukuzi Dtk. Harrison Mwakyembe.



Chama cha wakulima Nchini - TASO, Kanda ya Nyanda za Juu kusini kimepongeza hatua ya Waziri aliyofikia.



Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu Aseri Msangi amemhakikishia waziri mwaakyembe kuwa wako katika jitihada za kutumia vema ujio wa Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe, uwe ni manufaa kwa wananchi wa mikoa ya Kanda ya Nyanda za juu kusini.



Hosea Cheyo, TBC Mbeya.




Last Updated ( Friday, 02 August 2013 09:11 )


 


Publicateurs
Devenez publicateur Partagez votre voix Racontez l'Afrique qui bouge

Touchez plus de 0 milliard d'Africains

Devenir publicateur →
Partager Partager

À lire aussi

TANZANIE
Getty Images On Friday, Walmart announced it will close 269 stores globally as it struggl...
1/26/2016 -  8057
TANZANIE
A major search is under way in the south of Iraq’s capital, Baghdad, after the kid...
1/26/2016 -  5719
TANZANIE
China’s Dalian Wanda Group will buy a controlling stake in Hollywood film studio Legendary Ent...
1/14/2016 -  5579
TANZANIE
There has been an explosion in a district of Istanbul popular with tourists, reports say, with sever...
1/14/2016 -  5446
TANZANIE
US President Barack Obama is to widen background checks on buyers of firearms, in a series of measur...
1/5/2016 -  5766
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3849
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3733
TANZANIE
Vice-President Mohamed Gharib Bilal has directed the Ministry of Tourism and Natural Resources to do...
6/25/2014 -  3931
TANZANIE
French club Valenciennes FC is interested in signing Rwanda international defender Salomon Nirisarik...
6/4/2014 -  3924
TANZANIE
UK yacht design studio Claydon Reeves has created a vessel billed as one of the fastest and most ele...
5/28/2014 -  4232
TANZANIE
Tanzania Women’s Bank Limited (TWB) has forged business links with Tanzanians in the Diaspora who wa...
5/21/2014 -  3460

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
🔴 POUR LES EDITEURS
📰
WS-WEBZINE
🔥 Votre journal en ligne
Publiez professionnellement !
Lire →