PlaneteAfrique
Déconnexion


Watuhumiwa wa ukataji mkono wa albino wafikishwa mahakamani

Watuhumiwa wa ukataji mkono wa albino wafikishwa mahakamani


Watuhumiwa watano wanaodaiwa kushiriki katika kitendo cha kumkata mkono Mlemavu wa ngozi Albino Maria Chambanenje wa kijiji cha Miangalua wilayani Sumbawanga wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu mkazi wilayani Sumbawanga kusomewa mashtaka yao.



Watuhumiwa  hao  wamefikishwa  mahakamani  baada  ya uchunguzi wa  jeshi  la  polisi  kubaini  walikuwa  na  mkono wa  Albino  huyo ambao walifukia ardhini   mara baada  ya kuukata. 



Watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali wa askari Polisi na kusomewa mashtaka yao huku wakitakiwa kutojibu lolote, ambapo upande wa Jamhuri ukiwashtaki kwa  makosa mawili ikiwa ni pamoja na kosa la kula njama ya kutaka kuua  na kujaribu kuua.



Miongoni mwa washtakiwa hao yupo Mume wa Albino huyo Gabriel Yohana, shemeji yake Gaudensi Yohana, Mganga wa jadi Kaponda Muyamba, Mtuhumiwa wa kutengeneza mchoro huo Linus Silukala na Mtuhumiwa aliyetaka kuununua mkono huo Mtogwa Cosmas alimaarufu kama mzee wa Ishu mkazi wa Sokomatola jijini Mbeya.



Hatahivyo mahakama hiyo iliyokuwa chini ya Hakimu mkazi Mh. Rosalia Mugisa imeweka wazi dhamana kwa watuhumiwa hao wote kwa pamoja huku mahakama hiyo ikitoa masharti manne ya dhamana hiyo, ikiwa ni pamoja na kuwa na wadhamini watatu wakazi wa wilayani Sumbawanga, fedha taslimu shilingi milioni tatu kila mmoja, na mmoja wa wadhamini awe ni mwajiriwa wa serikali au Shirika lolote la umma, ambapo washtakiwa hao walishindwa maaelekezo ya dhamana hiyo na kurudishwa mahabusu hadi Machi sita itakapotajwa tena.



Adolph Mbata, TBC Sumbawanga.




Last Updated ( Friday, 22 February 2013 11:23 )


 


Publicateurs
Devenez publicateur Partagez votre voix Racontez l'Afrique qui bouge

Touchez plus de 0 milliard d'Africains

Devenir publicateur →
Partager Partager

À lire aussi

TANZANIE
Getty Images On Friday, Walmart announced it will close 269 stores globally as it struggl...
1/26/2016 -  8057
TANZANIE
A major search is under way in the south of Iraq’s capital, Baghdad, after the kid...
1/26/2016 -  5719
TANZANIE
China’s Dalian Wanda Group will buy a controlling stake in Hollywood film studio Legendary Ent...
1/14/2016 -  5579
TANZANIE
There has been an explosion in a district of Istanbul popular with tourists, reports say, with sever...
1/14/2016 -  5446
TANZANIE
US President Barack Obama is to widen background checks on buyers of firearms, in a series of measur...
1/5/2016 -  5766
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3849
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3733
TANZANIE
Vice-President Mohamed Gharib Bilal has directed the Ministry of Tourism and Natural Resources to do...
6/25/2014 -  3931
TANZANIE
French club Valenciennes FC is interested in signing Rwanda international defender Salomon Nirisarik...
6/4/2014 -  3924
TANZANIE
UK yacht design studio Claydon Reeves has created a vessel billed as one of the fastest and most ele...
5/28/2014 -  4232
TANZANIE
Tanzania Women’s Bank Limited (TWB) has forged business links with Tanzanians in the Diaspora who wa...
5/21/2014 -  3460

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
🛒
WS-WEBSHOP
E-commerce
Créez votre boutique en ligne
J'y vais →