PlaneteAfrique
Déconnexion


Watanzania waombwa kutunza amani

Watanzania waombwa kutunza amani


Viongozi na wafanyakazi wa mashirika mbalimbali walioshiriki kuwarejesha kwao wakimbizi wa Burundi waliokuwa wakihifadhiwa katika kambi ya Mtabila wilayani Kasulu wamewaomba watanzania  kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuvuruga amani hapa nchini.



Wakizungumza baada ya kukamilisha kazi ya kuwarejesha kwao wakimbizi wa Burundi wamesema kuwa maisha ya ukimbizini waliyoyashuhudia ni ya shida na ghadhabu nyingi, hivyo watanzania wanapaswa kuhakikisha kuwa amani iliyopo  nchini haipotei.



Baadhi ya viongozi wa serikali na wafanyakazi wa  mashirika ya kitaifa na kimataifa wameshuhudia familia ya mwisho ya mkimbizi wa Burundi akipanda basi kurejea kwao.



Hata hivyo pamoja na mafanikio ya kukamilisha kazi ya kuwarejeshwa kwao zaidi ya wakimbizi elfu 35 kabla ya muda uliopangwa walikabiliwa na changamoto mbalimbali wakati wa utekelezaji wa kazi yenyewe.



Moja ya changamoto ilikuwa ni baadhi ya wakimbizi kukataa kupanda mabasi  kwa kuhofia usalama wao huko waendako, hali iliyolazimu mbinu za ziada kuwashawishi kutumia.



Ili kuepuka machafuko, mkuu wa wilaya ya Kasulu Dany Makanga, viongozi na watumishi wengine wametoa raia kwa Watanzania kudumisha amani, utulivu na upendo miongoni mwao.



Wakizungumza  eneo la Musenyi nchini Burundi Lewisi Kisanja na John Claudio waliokuwa wakisubiri kwenda maeneo ya mikoa yao ya kuishi  wameiomba serikali yao ya  Burundi kuwalinda, kuwaendeleza kielimu na kuwapatia maeneo ya Kilimo.



Dotto Elias. TBC Kigoma.




Last Updated ( Thursday, 13 December 2012 11:33 )


 
Publicateurs
Devenez publicateur Partagez votre voix Racontez l'Afrique qui bouge

Touchez plus de 0 milliard d'Africains

Devenir publicateur →
Partager Partager

À lire aussi

TANZANIE
Getty Images On Friday, Walmart announced it will close 269 stores globally as it struggl...
1/26/2016 -  8057
TANZANIE
A major search is under way in the south of Iraq’s capital, Baghdad, after the kid...
1/26/2016 -  5719
TANZANIE
China’s Dalian Wanda Group will buy a controlling stake in Hollywood film studio Legendary Ent...
1/14/2016 -  5579
TANZANIE
There has been an explosion in a district of Istanbul popular with tourists, reports say, with sever...
1/14/2016 -  5446
TANZANIE
US President Barack Obama is to widen background checks on buyers of firearms, in a series of measur...
1/5/2016 -  5766
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3849
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3733
TANZANIE
Vice-President Mohamed Gharib Bilal has directed the Ministry of Tourism and Natural Resources to do...
6/25/2014 -  3931
TANZANIE
French club Valenciennes FC is interested in signing Rwanda international defender Salomon Nirisarik...
6/4/2014 -  3924
TANZANIE
UK yacht design studio Claydon Reeves has created a vessel billed as one of the fastest and most ele...
5/28/2014 -  4232
TANZANIE
Tanzania Women’s Bank Limited (TWB) has forged business links with Tanzanians in the Diaspora who wa...
5/21/2014 -  3460

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
MySite
WS-MYSITE
✨ Présence web
Créez votre site clé en main
Démarrer →