PlaneteAfrique
Déconnexion


Profesa Muhongo akemea malumbano ya kisiasa

Profesa Muhongo akemea malumbano ya kisiasa


Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amekemea tabia ya baadhi ya watanzania kupoteza muda wao mwingi kwa kujadili mambo ya siasa, malumbano na kuongelea ya watu jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya Taifa.



Profesa Muhongo ameyasema hayo wakati akizungumza na wadau wa sekta ya nishati na madini mkoani Kilimanjaro na kusema kuwa dira ya maendeleo ya mwaka 2025 ni kuhakikisha tunakuwa na umeme wa uhakika na kuwa dira hiyo haitafikiwa iwapo watu wataendelea kupoteza muda kwa mambo yasiyo na msingi.



Wadau mbalimbali wa sekta ya nishati na madini mkoani Kilimanjaro wamekutana mjini Moshi na Waziri mwenye dhamana hiyo ili kujadili masuala mbalimbali ya uchumi na maendeleo yahusuyo sekta hiyo.



Akizungumzia suala la kuongeza uchumi na maendeleo,  Profesa Muhongo amesema umefika wakati sasa kwa watanzania kupunguza siasa, malumbano na kuongelea ya watu badala yake kuzungumzia uchumi na maendeleo yaTaifa.



Pia amesisitiza kuwa ni vyema madiwani wakahakikisha kuwa shule za sekondari za kata zinapata umeme ili kusaidia wanafunzi kutumia teknolojia ya kisasa kwa kuangalia video za masomo mbalimbali ili kuleta maendeleo.



Sauda Shimbo, TBC Moshi.




Last Updated ( Wednesday, 19 September 2012 12:49 )


 
Publicateurs
Devenez publicateur Partagez votre voix Racontez l'Afrique qui bouge

Touchez plus de 0 milliard d'Africains

Devenir publicateur →
Partager Partager

À lire aussi

TANZANIE
Getty Images On Friday, Walmart announced it will close 269 stores globally as it struggl...
1/26/2016 -  8057
TANZANIE
A major search is under way in the south of Iraq’s capital, Baghdad, after the kid...
1/26/2016 -  5719
TANZANIE
China’s Dalian Wanda Group will buy a controlling stake in Hollywood film studio Legendary Ent...
1/14/2016 -  5579
TANZANIE
There has been an explosion in a district of Istanbul popular with tourists, reports say, with sever...
1/14/2016 -  5446
TANZANIE
US President Barack Obama is to widen background checks on buyers of firearms, in a series of measur...
1/5/2016 -  5766
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3849
TANZANIE
Don’t let her diminutive size fool you: Kendall Jones, a cheerleader at Texas Tech, has faced ...
7/2/2014 -  3733
TANZANIE
Vice-President Mohamed Gharib Bilal has directed the Ministry of Tourism and Natural Resources to do...
6/25/2014 -  3931
TANZANIE
French club Valenciennes FC is interested in signing Rwanda international defender Salomon Nirisarik...
6/4/2014 -  3924
TANZANIE
UK yacht design studio Claydon Reeves has created a vessel billed as one of the fastest and most ele...
5/28/2014 -  4232
TANZANIE
Tanzania Women’s Bank Limited (TWB) has forged business links with Tanzanians in the Diaspora who wa...
5/21/2014 -  3460

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
E-commerce

WS-Webshop

Mobile Money intégré
  • Boutique clé en main
  • Gestion stocks incluse
Découvrir →